Luke 23:3-6
3 aBasi Pilato akamuuliza Isa, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Isa akajibu, “Wewe wasema.” 4 bPilato akawaambia viongozi wa makuhani na watu wote waliokuwepo, “Sioni sababu ya kutosha kumshtaki mtu huyu!” 5 cLakini wao wakakazana kusema, “Anawachochea watu kwa mafundisho yake katika Uyahudi yote, tangu Galilaya alikoanzia, hadi sehemu hii!”Isa Apelekwa Kwa Herode
6 dPilato aliposikia hayo akauliza, “Huyu mtu ni Mgalilaya?”
Copyright information for
SwhKC